Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Leo karudi mapema salamu zmefika
[emoji3][emoji3][emoji3]ila unajua kumficha dada anatokea mara chacheLeo karudi mapema salamu zmefika
Nawaogopa nyakunyaku[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]ila unajua kumficha dada anatokea mara chache
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeniita vipi ,mshahara umetoka nn ?maana tarehe hz naona kwa Shayo hapa raia kibao
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]na uzidi kuwaogopa sana dadaanguNawaogopa nyakunyaku[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu Leo mwisho wa mwezi ,halafu week end ,Shayo namuona anacheka tu ,na TV yake ya chogo kawawekea wadau hapaZa leo wadau wa nguvu.
Hivi kuna mtu anakereka nikisema asante sana AlfaPii kwa magazeti ya leo, usione nimechelewa kuyasoma, furahiday huwa napenda kusoma magazeti kiutulivu huku nagonga lite baridi, tuna tofautiana.
asante kwako aunt yangu Shunie kwa je wajua, ujue nini, sio kunusa kalio tu, niliwahi kuwa na mjasiriamwili mmoja alikuwa na makalio yamekaa vizuri akitaka kujam-pa natega sikio ushuzi unitekenye. anyway mambo mengine ni binafsi sana.
dumejeuri nimekuona kwa mbali mdau, karibu tena, Tumosa kama kawaida asante kwa kunitakia Furahiday njema. ABJ shangazi yangu wewe mdogo hujambo.
mtu chake kula bia mwanangu maisha mafupi sana na kumbuka watu wema wanakufa vijana so kula bia usizeeke mapema.
kama hakuna jipya basi nipo nalinda jukwaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanalipa madeni auMkuu umeniita vipi ,mshahara umetoka nn ?maana tarehe hz naona kwa Shayo hapa raia kibao
[emoji767]101-03-821.M|T|C
Nimedownload movie ya Drag me to hell sasa hivi,ngoja niangalie nitarudi by saa usiku wa mananeVp mkuu
Leo upo zamu kulinda jukwaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Itakua hivyo, mambo ya kidaftali ,kisha unaanza tena
Wakiiba jukwaa letu tutakudai ujue[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimedownload movie ya Drag me to hell sasa hivi,ngoja niangalie nitarudi by saa usiku wa manane