makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,429
- 108,445
Marhaba shemela, awali ya yote nijuze hali yako kwanza bibieShikamoo shemela
Marhaba shemela, awali ya yote nijuze hali yako kwanza bibieShikamoo shemela
Nilikumiss mmNiambie shemela..
Mimi nilikumisi zaiId shemelaNilikumiss mm
Ndio ila sio yao ni yanguu wasinizoeeWw ndo umewaletea masofa walimu
Anko ni huyu mpya ... kazi unayo ankoo...anko haya maelekezo yana baraka toka kwa huyu mpya au wa zamani anaendelea kukushika?
Hivi unajua hapa nilipo pana WiFi na nina pasiwedi yao najishushia tu vitu kama muuza unga
Nko poa kabisa ,hofu yngu kwakoMarhaba shemela, awali ya yote nijuze hali yako kwanza bibie
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Mimi nilikumisi zaiId shemela
Na yatauzwa uctuletee zako hapaNdio ila sio yao ni yanguu wasinizoee
Kiukweli ni salama mkuu, namshukuru muumba, sijui wewe na waliokuzunguruka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...uongo dhambi, niko sawa sana na asante kuniuliza khali. Wanaonizunguka kila mmoja na matatizo yake lakini wote tukiangaliana tunatabasamu na maisha yanaendelea
Ww ndo umewaletea masofa walimu
Anko ni huyu mpya ... kazi unayo ankoo
Jirani upoBila shaka muwazima wa afya.. Mwabesabesa au mwabesekewa
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mie niko salama wa salminNko poa kabisa ,hofu yngu kwako
Ukitaka kuujua umuhimu wa matako, jaribu kalia kichwa.. Ni aheri kila hilo taasamu la matatizo kuliko kilio cha matatizo....uongo dhambi, niko sawa sana na asante kuniuliza khali. Wanaonizunguka kila mmoja na matatizo yake lakini wote tukiangaliana tunatabasamu na maisha yanaendelea
Nipo jirani, vipi hali!?
Akudo impacto.. Wazee wa masauti.Unaenda zako mahali halafu unakuta vijana wanarudia songi hili. Unapata moja ya BURE
Nakupungia, nawe punga.Anko ni huyu mpya ... kazi unayo ankoo