Makapuku Forum

Makapuku Forum

......ha ahahahha, mjomba na wewe husahau bhana, pale si uliniambia nikatest kumpima imani. Mbaya zaidi alijua mimi ndo wewe akafunguka zaidi lahaulalakwata tukajikuta tuko mwambao wa Tanga. Kilichofuata nilikuomba msamaha.
Hivi bado yupo?
Maisha yanaenda mbio sana kumbukumbu kumbukizii kama wewe na yule aliyekuletea saa ya mshale ...

Kuwepo yupo japo kujua uwepo wake inahitajiii nguvu ya ziada nafikirii ulijionea mwenyewe timbwiliii lakeee...ila binamu tumetoka mbaliii
 
Anko naona unaelekeaa kufanikiwa ndo maana nilidaiivetiii namba ya cheusi kwangu kwa sababu ya unayonifanyiagaaa

Kizuri unakula na ndugu yako ila sio kwq dizaini hiyo

......unasema kweli anko, ila unadhani nimesahau ulivyofanya kwa yule mdada wa kisomali aliyehurumiaga tu akanitunuku !? Nakuangalia tu na huu msemo wa kizuri kula na nduguyo
 
......unasema kweli anko, ila unadhani nimesahau ulivyofanya kwa yule mdada wa kisomali aliyehurumiaga tu akanitunuku !? Nakuangalia tu na huu msemo wa kizuri kula na nduguyo
Sawa lakin anko ...ila kumbuka kwenye katiba yetu tuliufutaa huu msemo kiutumiajiiii
 
Ha ahahahha, pale lile timbwili lilihitaji makomandoo wore kulituliza. Hapo ndo nilijua anko wewe El Chapo maana uliwatuliza kwa ile mbinu ya kikapitolisimu siliisamu
Maisha yanaenda mbio sana kumbukumbu kumbukizii kama wewe na yule aliyekuletea saa ya mshale ...

Kuwepo yupo japo kujua uwepo wake inahitajiii nguvu ya ziada nafikirii ulijionea mwenyewe timbwiliii lakeee...ila binamu tumetoka mbaliii
 
Muziki: Halua Haina Makombo

.....nilipata nafasi ya kwenta retreat nchi ya Zanzibar, kama unadhani Znz sio nchi basi sina budi kukusalimia na kukuulizia siku yako ilikuwaje maana Jumanne ina mambo mannemanne, siyo ya mchezomchezo na kisha baada ya salamu naendelea kukuambia kuhusu niliyojifunza huko ugenini kwa wenyeji wa JMT. Nilivutiwa na halua ambayo kama walivyo watu wa aina yangu tukiwa safarini lazima uwe na mwenyeji wa kukuonesha mazingira na sio tabia za anko wangu za kaucha kumbukumbu kila anapokwenda. Nisikuchoshe maana lengo la kipengele hiki ni muziki na si story zangu za kipuuzi.

Muziki sasa, kuna vitu unavila tu havina makombo wala makambo na usisahau kupasha kiporo, ugonjwa wa tumbo haufikii maumivu na mahitaji ya kiuno

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom