Makapuku Forum

Makapuku Forum

download%20(2).jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili ufanye kama ulichofanya kwa yule wa nyanda za juu


......ha ahahahha, mjomba na wewe husahau bhana, pale si uliniambia nikatest kumpima imani. Mbaya zaidi alijua mimi ndo wewe akafunguka zaidi lahaulalakwata tukajikuta tuko mwambao wa Tanga. Kilichofuata nilikuomba msamaha.
Hivi bado yupo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom