Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Asante kwa magazeti mkuu ubarikiwe
Asante kwa magazeti mkuu ubarikiwe

Kanisani mkuu
Shikamooo mdogo wanguNilikuwa sijajiona jamani...
Asantee The class
Lee umeniona lakini nilivyo msupuu
Sent using Jamii Forums mobile app



Ndiondio mkuu
Majaribio gani?Unafanyia majaribio kapuku baada ya kujiunga jf eti?
Eeehee umeona sasa kwahiyo kumbe ulikuwa unatafta pa kutokea ee,anko hakukosea na wala hakuwa amelewa unamsingizia mfyuuu
Katafute hata10 ukitaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupa siku 2 atakufata pm na kukushawishii uniacheee ili ikiwezekana uwe na yeye ...ndo kamchezo kakeee
Njema sana, umeamka salama mama JJHabari ya kazi wapendwa ktk bwana
101-03-821.M|T|COh, sasa unataka anko akodi daladala awalete 20 wanaojulikana ukiwaacha masuria kama mfalme Suleiman




kumbe ndo zakeYesuuuuu...Shikamooo mdogo wangu![]()
![]()
![]()

au shikamoo ya humu kapuku ina maana tofauti
