Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Halua Haina Makombo

.....nilipata nafasi ya kwenta retreat nchi ya Zanzibar, kama unadhani Znz sio nchi basi sina budi kukusalimia na kukuulizia siku yako ilikuwaje maana Jumanne ina mambo mannemanne, siyo ya mchezomchezo na kisha baada ya salamu naendelea kukuambia kuhusu niliyojifunza huko ugenini kwa wenyeji wa JMT. Nilivutiwa na halua ambayo kama walivyo watu wa aina yangu tukiwa safarini lazima uwe na mwenyeji wa kukuonesha mazingira na sio tabia za anko wangu za kaucha kumbukumbu kila anapokwenda. Nisikuchoshe maana lengo la kipengele hiki ni muziki na si story zangu za kipuuzi.

Muziki sasa, kuna vitu unavila tu havina makombo wala makambo na usisahau kupasha kiporo, ugonjwa wa tumbo haufikii maumivu na mahitaji ya kiuno

Halua ndo nn binamu mm sijui
 
...inabidi aweke na wa nguvu za giza, navyomjua anko wangu hashindwi kutafuta ile dawa ya kunasiasa
Hihihii
tapatalk_1535474423252.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom