The silent twin
Part2
Baada ya Kuwakutanisha Tena, Uhusiano Wao Ndio Ulizidi Maradufu Huku Wakitumia Muda Wao Mwingi Wakicheza Pamoja Na Kujifungia Kwenye Chumba chao Huku Wakiandika stori Mbalimbali na Kuziigiza Pamoja...Na Nyingi walikua Wakirekodi Na Kumpatia Dada Yao Kama Zawadi.
-
Walijaribu kutaka Kuuza Baadhi Ya stori Walizokua Wakiziandika Katika Baadhi Ya Magazeti Lakini Hawakufanikiwa Zaidi Ni Local Publishing Companies Baadhi Ambazo Zilikubali Kuchapisha Baadhi Ya Kazi Zao..Lakini Inshort Katika 'Career' yao Kama Waandishi Haikufika Mbali Kama Waandishi Wengine.
-
Baadae, Walianza Kufanya Uhalifu Kadhaa Lakini Ambao Unatajwa Sana Ni Uhalifu Kwa Kiswahili sijui nisemeje...Lakini kwa Kiingereza wanaita 'Arson'...Huo Ni Aina Ya Uhalifu Flani Ambao Mtu Anafanya, Afu Anaonesha Kufurahia Anachofanya...Mfano Kama Mtu Anachoma Shule Au Nyumba Na Ukimuuliza Nini Chanzo?? Hakuna Anachokujibu..Just Anajisikia Fresh Tu Kufanya Hivyo...So Walianza Kufanya Hivyo Vitendo Kama Wanaigiza Movies Hivi.
-
Kutokana Na Hilo, Lilipelekea Wapelekwe Katika Hospitali Ya Wagonjwa Wa Akili Ambapo Walikaa Huko Kwa Takribani Miaka 14.
-
Baada Ya Miaka Hiyo, Inasemekana Walichoshwa Na maisha Hayo..Hali Iliyopelekea Waamue Jambo...Na jambo Waliloamua Ni Kuwa Ili Waishi Vyema, Ni Lazima Mmoja Wapo Afe..Na Jennifer ndie Aliamua Kujitoa Kama Chambo.
-
Mwaka 1993, Walikua Wanahamishwa Toka Hiyo Hospitali Ya Wagonjwa Na Kupelekwa Katika Clinic Moja huko Wales Kwaajili Ya Kupatiwa Matibabu Zaidi Na ..Sababu Inasemekana Dawa Walizokua Wanapewa, Zilianza Kuwapa Madhara Badala Ya Kuwatibu.
-
Wakati wanashuka Jennifer Alikua Ajitambui, Hivyo Kukimbizwa Haraka ndani kwaajili ya Kumtibu, Lakini Baada ya muda mfupi akawa amefariki.