Makapuku Forum

Makapuku Forum

TUOMBE:

Baba Asante kutuamsha salama siku ya leo tukiwa wazima .

Tunaomba Toba tusamehe..Tunajikabidhi mikononi mwako endelea kutupigania Mfalme wa Amani.Tuponye,Tubariki,Tuhuishe.

Tunajikabidhi sisi na kila tunalopitia Baba mikononi mwako..wafariji wafiwa wote wape mahitaji na tumaini wajane,wagane ,yatima watie nguvu waliipondeka mioyo.

Damu Takatifu ya Yesu Kristo inene mema makazini,safarini,katika masomo,kwa watoto na wahitaji wote wakutafute wewe .

Hesabu hatua zetu Roho Mtakatifu kaa nasi.Ni katika jina la Yesu Kristo naomba na kuamini Amen

JUMATANO NJEMA NA EID NJEMA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE
 
1. Nikijiaminisha unamaanisha hii hati ya kusafiria, basi gharama imepandishwa toka 50k hadi inasoma 150k


Hapo bado gharama za fomu ambazo ni kama 20k.

Tembelea web ya Uhamiaji wameifanya iwe poa sana

2. Kama unamaanisha hizi passport size bei yake ni tofauti tegemeana na studio. Hapa Mtwara unatoa 1k unapewa passport 6 kwa mpigo bahati mbaya hawakupi negative.
Binamu yangu shikamoo
 
.
Screenshot_20180822-074104.jpg
Screenshot_20180822-074120.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom