Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Salama navero siju umeamkaje
TUOMBE:


Binamu yangu shikamoo1. Nikijiaminisha unamaanisha hii hati ya kusafiria, basi gharama imepandishwa toka 50k hadi inasoma 150k
Hapo bado gharama za fomu ambazo ni kama 20k.
Tembelea web ya Uhamiaji wameifanya iwe poa sana
2. Kama unamaanisha hizi passport size bei yake ni tofauti tegemeana na studio. Hapa Mtwara unatoa 1k unapewa passport 6 kwa mpigo bahati mbaya hawakupi negative.
Salama habari ya ww
Endelea na kuwaogopa mapugi jf watakutia mpaka vidole vya huko simu yako bundle lako na uwaogope madudu humu