Makapuku Forum

Nilikuwa nahitaji passport ya kusafiri. Ili angalau na mimi nivuke boda. Asante kwa mwelekeo ulionipa mkuu
 
na mm nataka passpot binamu
 
 
Asante sana aunt yangu Shunie kwa magazeti, nimeyasoma mapema leo nikijiandaa kwenda kupiga mpunga mahali.

Anko wangu ni mgombea yaani hadi ananichanganya, inabidi ukae naye chini umsaidie na tiba yake ni wewe. Tumejaribu kumpelekwa kwa waganga imeshindikana, jameni!

Tumosa kama unataka passport hakikisha unavaa viatu vizuri ili picha itoke poa.
 
Binamu huyu anko wako mm kiukweli simuelewi najua ni anko wako mdogo sio yule mkubwa

Tumosa afanyaje binamu kwenye picha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…