R.l.PKofi Annan, aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amefariki dunia nchini Uswisi akiwa na umri wa miaka 80.
Annan mwanadiplomasia kutoka Ghana alishika wadhifa huo kati ya mwaka 1997 na 2006. Alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda.
View attachment 840111
Asante kwa infoo
Husnaaaaaaa kipenziiiii
Abeeeee kipenziiiii njoo zueni hapa tynywege balimiHusnaaaaaaa kipenziiiii
Nina doziiiii ....asante mwendo wa juis
Duuuuuu Poole wajameni weeeNina doziiiii ....asante mwendo wa juisView attachment 840463
Shikamoo mkuu