Makapuku Forum

Makapuku Forum

TUOMBE:

ASANTE BABA kwa siku ya leo tunaomba Toba kwa yote ambayo tumeenda kinyume na mapenzi yako uturehemu twakusihi.huruma yako iwe juu yetu.

Siku ya Leo Tunaomba Tuongoze,Tusimamie,
Tubariki,Tuponye na utupe Muda wa kukutafuta kwa bidii na kutafakari matendo yako makuu kwetu.Roho Mtakatifu kaa nasi

Tufundishe,Tukumbatie Mfalme wa Amani.Tunaomba yote kwa jina la Yesu Kristo Amen

JUMAMOSI NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTU ITUFUNIKE
 
Mfyuuuuuu hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Shikamooo dada wa mioto
tapatalk_1534263602869.gif
 
Kofi Annan, aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amefariki dunia nchini Uswisi akiwa na umri wa miaka 80.

Annan mwanadiplomasia kutoka Ghana alishika wadhifa huo kati ya mwaka 1997 na 2006. Alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda.


Screenshot_20180818-130622.jpg
 
Ndani ya Dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza hali ilivyo ikiwa ni saa chache kabla ya kipute cha NgaoYaJamii2018 kati ya SimbaVsMtibwa .
Shughuli inaanza saa 10:00 jioni




Screenshot_20180818-130954.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom