Makapuku Forum

Makapuku Forum

Saa ngapi
IMG-20180817-WA0040.jpg
 
TUOMBE:

ASANTE BABA kwa siku ya leo tunaomba Toba kwa yote ambayo tumeenda kinyume na mapenzi yako uturehemu twakusihi.huruma yako iwe juu yetu.

Siku ya Leo Tunaomba Tuongoze,Tusimamie,
Tubariki,Tuponye na utupe Muda wa kukutafuta kwa bidii na kutafakari matendo yako makuu kwetu.Roho Mtakatifu kaa nasi

Tufundishe,Tukumbatie Mfalme wa Amani.Tunaomba yote kwa jina la Yesu Kristo Amen

JUMAMOSI NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTU ITUFUNIKE
 
TUOMBE:

ASANTE BABA kwa siku ya leo tunaomba Toba kwa yote ambayo tumeenda kinyume na mapenzi yako uturehemu twakusihi.huruma yako iwe juu yetu.

Siku ya Leo Tunaomba Tuongoze,Tusimamie,
Tubariki,Tuponye na utupe Muda wa kukutafuta kwa bidii na kutafakari matendo yako makuu kwetu.Roho Mtakatifu kaa nasi

Tufundishe,Tukumbatie Mfalme wa Amani.Tunaomba yote kwa jina la Yesu Kristo Amen

JUMAMOSI NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTU ITUFUNIKE
Ameeeen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom