Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Mfyuuuuuu
AYUBU 11:
19.Tena utalala hakuna atakayekutia hofu,,Naam wengi watautafuta uso wako
MUNGU AWABARIKI FAMILIA ,DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE USIKU MWEMA MALAIKA WALINZI WAWAZINGIRENAWAPENDA
![]()

![]()
acha kunisingizia , wewe ndio umeleta hiyo je wajua tena kama haitoshi ukaweka picha kbs
![]()
kati ya mimi na wewe muhuni nani hapo
Na binadamu tungekuwa na uwezo kama wa kitimoto wanawake mngenenepaaaje!
maprotini hadi mngebaki mmelewa aki vile![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Ni kweli we ni kibonge?
Ingekuwa njema sana hiyo![]()
ungekuwa ww je?
![]()
![]()
unamwagia hadi ke analewa akiiiTuko hapa mkuuMko wapi Leo, week end ndio hii ishaanza ,toeni codes
Mm napenda vibonge ,ndio nilitaka kujua ,RafikiHapana mkuu wangu mwisho wa siku tusije kuonana ukanikimbia mm ni huyo kwa dp avatar zangu huwa najiweka mwenyewe
Ungekuwa kama duduHivi ningenenepa zaidi ya hapa nilivyo na huu ubonge wangu jamani

Hapana rafiki mm sio kibonge mm ni kipotabo cha ushkaji easy to carry wanasema wenyeweMm napenda vibonge ,ndio nilitaka kujua ,Rafiki
Mnajiona wadogo sana si ndioShikamoo mkuu

KwendraaaaEbu itikia jamani mkuu wangu
Thubuuuutuuuuuuuu!!Hapana mkuu wangu mwisho wa siku tusije kuonana ukanikimbia mm ni huyo kwa dp avatar zangu huwa najiweka mwenyewe