Makapuku Forum

..asante kushukuru aunt, Mama yenu, ambaye bahati mbaya sana mimi ni mume wake anaumwa yaani hata mimi ninaumwa hapa. Ndo nikaona niandike maneno ya kumfariji apone haraka
Jamani binamu Mungu amfanyie wepesi mama apone na pole na ww kwa kuuguza binamu lazima na ww uumwe binamu mwili mmoja
 
Mtaasisi vip
 
"Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu."

Methali 3: 24

Mungu awatunze usiku huu,Malaika walinzi waweke kituo kila nyumba,Damu Takatifu ya Yesu Kristo itufunike
Usiku Mwema
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…