Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,995






























Shunie hauzimi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Heri Ya Siku Ya Kuzaliwa ObamaLeo ni Kumbukumbu ya Siku ya kuzaliwa Rais Mstaafu wa Awamu ya 44 Nchini Marekani Barack Hussein Obama , Anatimiza Miaka 57 Tangu alipozaliwa Huko Honolulu, Hawaii - Marekani na anatimiza Miaka Hiyo akiwa ni Rais wa Kwanza Mwenye asili ya Africa Kuongoza Taifa hilo Kubwa Duniani.
View attachment 827009
Za kwako Shunie
akiwa anasaidiwa na Patrick Kluivert.
Za kwako Shunie
Wamelamba Jike watapigwa Goal hadi wakome ....Jamaa Sio Kocha BoraClarence Seedorf ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Cameroonakiwa anasaidiwa na Patrick Kluivert.
:
Urefu wa mkataba wa Seedorf na mabingwa wa mara tano wa AFCON, utatangazwa baadae.
.
Seedorf, 42, ambaye amewahi kuvifundisha vilabu vya AC Milan, Shenzhen na Deportivo La Coruna.
Alidumu kwa miezi 6 tu katika kila timu. :
Seedorf, ambaye anachukua nafasi ya Hugo Broos, na atakuwa na angalau mwaka mzima kuiandaa timu kabla ya mashindano ya AFCON 2019.View attachment 827013




























Mzima kabisa ....
Hauzimi![]()
Wamelamba Jike watapigwa Goal hadi wakome ....Jamaa Sio Kocha Bora
Afunge magoli sio kubadili Jezi tuMshambuliaji wa Chelsea Álvaro Morata kuanzia msimu ujao atavaa jezi namba 29 badala ya namba 9 aliyokuwa anavaa mwanzoni.
Jezi namba 29 ina maana kubwa Kwa mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Hispania kwani tarehe 29 July ni siku ya Birthday ya watoto wake mapachaView attachment 827016