Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kiongozi wa upinzani nchini Kongo, Jean Pierre Bemba amerudi nyumbani leo, baada ya kukaa kwa takribani muongo mmoja akiwa kifungoni na nje ya nchi ya Kongo.

Bemba alifutiwa mashataka hivi karibuni na mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai ICC, aidha ameonesha wazi nia yake ya kugombea Urais nchini Demokrasia ya Kongo.

Alishindwa katika uchaguzi wa mwaka 2006 dhidi ya Rais wa sasa Joseph Kabila ambaye muda wake umeisha tangu mwaka 2016, jambo ambalo bado linaleta maswali mengi kama ataogombea tena.
Je, kurejea kwa Bemba kutaleta mabadiliko ya kisiasa nchini DRC?
Screenshot_20180804-174039.jpeg
 
Crystal Palace imemsajili mchezaji wa kiungo cha kati Cheikhou Kouyate kutoka West Ham katika mktaba wa miaka minne kwa kitita kisichojulikana.

Raia huyo wa Senegal mwenye umri wa miaka 28 alikaa kwa misimu minne na West Ham na kuwahi kushiriki mechi 129 na kufunga magoli
Screenshot_20180804-174346.jpeg
 
Gari alilokuwa amepanda Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla likiondolewa katika eneo la ajali na kupelekwa kituo cha polisi Magugu Wilaya ya Babati mkoani Manyara.
20180804_174624.jpeg
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akimkabidhi taarifa za Baraza jipya la Taifa la Usalama Barabarani, mjumbe aliyeteua, Profesa Zakaria Mganilwa.

Katikati ni Katibu Mtendaji wa Baraza hilo ambaye pia ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini Fortunatus Musilimu.
Screenshot_20180804-174900.jpeg
 
Sisi tofauti na Majirani zetu walio wengi ni kuwa tuna mengi ya kujivunia. Unaweza kutokea mbele na kujivunia 'Unforgettable Culture', 'Unforgettable Wildlife', 'Unforgettable Food and Spices'...

Haya yote yanatuleta kwenye kauli ya Pamoja, yenye Nguvu #TanzaniaUnforgettable Huu ndio uzeofu tunaotaka watu kuondoka nao" -#RugeMutahaba alipokuwa akizungumza kwenye kongamano la wadau wa sekta ya utalii linalofanyika jijini Arusha.
Screenshot_20180804-175209.jpeg
 
One of the Best DanceHall Music Group kwenye Game ya Bongo Fleva navykenzoofficial Kwa Kushirikiana na Na#TheIndustry Wamekuja Na Project Mpya Ya Navykenzo Foundation ambayo itajishughulisha na maswala mbalimbali ya kijamii ikiwemo kutoa misaada mbalimbali na kushirikiana katika shughuli tofauti za sanaa na michezo .
.
Navy Kenzo Ambayo Member wake ni Producer nahreel Pamoja na Female Rapa aikanavykenzo leo wamezindua Foundation hiyo na kwa mara ya kwanza wametangaza Rasmi kuanza na Mchezo wa Soka na kuanzisha NAVY KENZO CUP Ambapo mashindano yatakuwa yanafanyika katika Viwanja vya Tanganyika Packers.

NavykenzoCup itaanza na Timu nane na wameanza na mkoa wa Dar es Salaam kisha baada ya Hapo wataelekea kwenye Mikoa Mingine, huku Timu za Dar ambazo zitashiriki zitakuwa 8 Pekee





Screenshot_20180804-175816.jpeg
 
Kiongozi wa upinzani nchini Kongo, Jean Pierre Bemba amerudi nyumbani leo, baada ya kukaa kwa takribani muongo mmoja akiwa kifungoni na nje ya nchi ya Kongo.

Bemba alifutiwa mashataka hivi karibuni na mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai ICC, aidha ameonesha wazi nia yake ya kugombea Urais nchini Demokrasia ya Kongo.

Alishindwa katika uchaguzi wa mwaka 2006 dhidi ya Rais wa sasa Joseph Kabila ambaye muda wake umeisha tangu mwaka 2016, jambo ambalo bado linaleta maswali mengi kama ataogombea tena.
Je, kurejea kwa Bemba kutaleta mabadiliko ya kisiasa nchini DRC?View attachment 826976
Rafiki umenifurahisha kumbe nawe mdau wa habari za Central Africa na maziwa makuu.
 
RIP C STRUGGS

Hip Hop Rapa Kutoka Dallas Marekani cstruggs232 Ambae Jana Madaktari Waliripoti Kuwa Amebakiza Miezi Miwili Tu ya Kuishi, AMEFARIKI DUNIA

C Struggs alikuwa akisumbuliwa na Cancer ambayo amekuwa akiihangaikia kwa muda mrefu Ugonjwa ambao kwa Mujibu wa Madaktari ulikuwa umesambaa mwili mzima na asingezewa kupona tena.

Screenshot_20180804-182124.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom