Makapuku Forum

..shukrani mdau, kwanza ulipotelea wapi kaka maana siku zimepita sio popote hapa huonekani hadi watu wakaanza kuzusha wewe ndo ulimchukua yule dog wa polisi (wataunganisha matukio, dog kaonekana na wewe umerudi? Ulimpeleka mafunzoni?
Haaaaahaaaa
 
Anko kwa hiyo maswali yako ulitegemea niyajibu kweliii yalivyo magumu au ??

Haya mambo wengine tunasema wacha movie isonge mbeleeeee
 
..shukrani mdau, kwanza ulipotelea wapi kaka maana siku zimepita sio popote hapa huonekani hadi watu wakaanza kuzusha wewe ndo ulimchukua yule dog wa polisi (wataunganisha matukio, dog kaonekana na wewe umerudi? Ulimpeleka mafunzoni?
 
Anko kwa hiyo maswali yako ulitegemea niyajibu kweliii yalivyo magumu au ??

Haya mambo wengine tunasema wacha movie isonge mbeleeeee

...ha hahaha, haha, anko tuendelee na mambo yetu, sasa aunt ndo kaula utawala tayari kawa DC , utaweza kweli kumuacha CD kwa yale madikodiko anayokupa maana tulipoenda wote ile nyama nadhani iliungwa kwa mafuata ya mchicha, ilikuwa laini sana na madikodiko kibao, ndo maana unapotea anko si bure
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…