Makapuku Forum

Binamu shikamoo ww utakuwa dereva wangu
tutavaa suti zetu za kung'aaa si ndio binamu ili kila mtu atuone ndugu wa mheshimiwa
...me nilijua tu lazima uteuzi huu aunt yangu Shunie ale shavu la nguvu. Niliandaa kabisa suti na nimenunua na mkasini. Sasa mwambie asiwe anaigombeza bila sababu keshapata ubosi na alifanya vizuri kumpa talaka anko wangu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…