Makapuku Forum

Makapuku Forum

...
IMG-20180801-WA0004.jpg
 
Binamu shikamoo ww utakuwa dereva wangu
tutavaa suti zetu za kung'aaa si ndio binamu ili kila mtu atuone ndugu wa mheshimiwa
...me nilijua tu lazima uteuzi huu aunt yangu Shunie ale shavu la nguvu. Niliandaa kabisa suti na nimenunua na mkasini. Sasa mwambie asiwe anaigombeza bila sababu keshapata ubosi na alifanya vizuri kumpa talaka anko wangu
shikamoo tena binamu
Aunt yko kaukwaa ukuu wa wilaya tuandae suti za kumsindikiza kuapishwa
Nmekumbuka zile suti zetu za yangeyange
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom