Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
Nafurahi kusikia uko pouwa,mambo zaidi bibie muzuri muzuriMm nko pouwa
Nafurahi kusikia uko pouwa,mambo zaidi bibie muzuri muzuriMm nko pouwa
Tu Salama salminWazima humu
Safi sana,wadau nafurahi kusikia mko salama,Anko Magu anasemaje na HPP ?Tu Salama salmin
SwalamaaSwalamaaa..?makapuku
Asante, kwemaHeshima yko baba Mchungaji
TUMUOMBEESafi sana,wadau nafurahi kusikia mko salama,Anko Magu anasemaje na HPP ?
Ooh...basi vizuri freshet netSwalamaa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
tutavaa suti zetu za kung'aaa si ndio binamu ili kila mtu atuone ndugu wa mheshimiwa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
...me nilijua tu lazima uteuzi huu aunt yangu Shunie ale shavu la nguvu. Niliandaa kabisa suti na nimenunua na mkasini. Sasa mwambie asiwe anaigombeza bila sababu keshapata ubosi na alifanya vizuri kumpa talaka anko wangu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
shikamoo tena binamu
Aunt yko kaukwaa ukuu wa wilaya tuandae suti za kumsindikiza kuapishwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nmekumbuka zile suti zetu za yangeyange
ShikamooHumu nawasalimu sana na nawapa pole kwa uchovu wa ujenzi wa Tanzania Mpya
Shunie mrs Ban
Bhas sawa
kuamkia watu ni dalili ya kuwanyima kitu flan
Shikamooo mama mwenye ban zakoooShikamoo jamani