Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tumosa Wodikapu Imeendelea Leo Pia, Mshindi Wa 3!

Ubelgiji Amemcharaza Uingereza Mabao 2 Bila Majibu!
 
Habari ya jioni wapendwa
Nna salamu zenu toka kwa Shunie anawasalimia sana
Anaumwa msisahau kumuombea na kumtumia hela ya maziwa

...anahitaji hela ya maziwa au anaumwa maziwa?

Vyovyote vile kama ni hela ya maziwa mwambie maziwa yanamaliza nguvu ya dawa. Na kama anaumwa maziwa basi lambalamba fc wanahusika, yamevimba kwani?

Pole Shunie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom