Mtumie hela akanunue maziwa...anahitaji hela ya maziwa au anaumwa maziwa?
Vyovyote vile kama ni hela ya maziwa mwambie maziwa yanamaliza nguvu ya dawa. Na kama anaumwa maziwa basi lambalamba fc wanahusika, yamevimba kwani?
Pole Shunie
Shikamoo banamuJumapili njema wadau.
Niko poa bro vp wwHabari yako dadake
Morning goal kickMorning Fellaz
Duh Binamu Huyu KibokoHuyo ndo binamu yetu![]()
![]()
![]()
HahahaaaHilo jina limetumbuliwa, na sasa ameteuliwa @iyegu,goal kick atapangiwa kazi nyingine![]()