Makapuku Forum

Makapuku Forum

...anahitaji hela ya maziwa au anaumwa maziwa?

Vyovyote vile kama ni hela ya maziwa mwambie maziwa yanamaliza nguvu ya dawa. Na kama anaumwa maziwa basi lambalamba fc wanahusika, yamevimba kwani?

Pole Shunie
Mtumie hela akanunue maziwa
Chai ya maziwa haimalizi nguvu ya dawa binamu pole yake nmeipokea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom