Makapuku Forum

Makapuku Forum

...haahahha, nimecheka maana hii ndo anaimba malembeee malembe na ABJ akasema y...ya mama eee
giphy.gif
 
Wodikapu leo jamani? Ndo ulivyomuaga mumeo namna hii? Wenzako wajanja wanajua leo ni mapumziko sasa usijemlaumu mtu
Wodikapu ya safari hii haina mapumziko binamu
We usipozurura msimu huu ndo basi tena,unaenda hata kuangalia marudio
 
Woooooooozeeeeerrrrr binamu hii hii naomba na audio yake jamani

...hii hata anko wangu Lyon Lee anaipendaga sana, inawezekana ABJ aliisikia kwa anko? Au unasemaje, na wewe uliisikia wapi?

Audio sijaipata, jaribu pandora au Spotify wanaweza kuwa na audio, inabidi ujisajiri kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom