Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,287
- 35,665
Binamu shikamoo
...marahaba aunt, sijambo sana na ninafurahi kuitikia shikamoo yako
Binamu shikamoo
Mzima sana binamu yangu hofu kwako tuAsante kushukuru aunt yangu, mzima lakini?
Hah hahaha nimefurahi binamu kwa kuitikia...marahaba aunt, sijambo sana na ninafurahi kuitikia shikamoo yako





Me sijambo ankoo...jipya sijui lipo sijui halipo
..aisee, anko mbona unanichanganya kama lipo hujui kama lipo hujui pia. akili yangu ndogo sana kuelewa mambo magumu magumu
Mzima sana binamu yangu hofu kwako tu
...hofu yangu kiafya ondoa, nimepima. Labda nikupe uhakika kuwa lazima uwe na hofu ya kifedha, maana hela niliyonayo hata mfuko haujui kama nimeweka hela
Wee anko wewe we tafsiri zako unazoziweka huwa unatumia ubongo wa nani..aisee, anko mbona unanichanganya kama lipo hujui kama lipo hujui pia. akili yangu ndogo sana kuelewa mambo magumu magumu
Hiyo hela ni sh ngapi
...mia nne hamsini. Mia mbili ni za noti
Wee anko wewe we tafsiri zako unazoziweka huwa unatumia ubongo wa nani
Mia mbili za noti hizo hela si za zamani





...umeona eeh, ndo maana hata mifuko yangu haijui kama nina hela. Me mjanja sana, ningeweka miambili za siku hizi kwenye hii mifuko ya hii jeans yangu mpya ya Levis mifuko ingetoboka
Jamani ndo ule anaimba malembe oo malembe nataka kusema na wewe sijui nini huko mbeleBinamu naomba nyimbo ya Kofi malembelembe video halafu nitafutie na audio yake nidownload
....unadhani najua basi, mi mgeni. Kumbe huwa naweka tafasiri, mbona nakuwa wa mwisho kujua jamani. Mbona hukuniambia mapema?




Jamani ndo ule anaimba malembe oo malembe nataka kusema na wewe sijui nini huko mbele
Hakuna jipya binamu tupo wodikapu tuuNawasalimia wadau na kama kawaida, nauliza tu kama kuna jipya?