Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Sawa wajanja lakini shikamoo zinawahusu jamani
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
matabe yako,sie wamkoani ila wajanja
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
matabe yako,sie wamkoani ila wajanja
Nipo nikiona upo km hv nafarijika,ila mambo mengi si unajua tenaMe pia mkuu karibu
Asante mkuu jamani nafurahi pia kukuonaNipo nikiona upo km hv nafarijika,ila mambo mengi si unajua tena
Wakuu Hamjambo?
Na Mimi Sijambo Kabisa, Ni Nani Anahusika Na Usajili Hapa Makapuku Forum Kwani Nataka Kujisali Hapa?Hatujambo habari yako
Na Mimi Sijambo Kabisa, Ni Nani Anahusika Na Usajili Hapa Makapuku Forum Kwani Nataka Kujisali Hapa?
Asante mkuu karibu sana wengine wakija nao watakukaribisha kuna Tumosa, moneytalk, ABj, Da Vinci, Obe huyu ni anko wetu, kuna mtu chake, Lyon Lee, Transcend, Shululu yaan tupo wangu sanaMkuu Shunie Nashukuru Sana Kwa Kunikaribisha Hapa Makapuku Forum!
Niseme Tu Nimeshakaribia Na Nitakuwa Nanyi Hapa 24/7.
Hahahah yaan ww uwe unauliza unakamatwa kweupe eti haina mapumziko
si unaangalia hata marudio tuu
![]()
![]()
![]()
![]()
si unaangalia hata marudio tuu
Huyo ndo anakuharibu na matusi
Huyo ndo anakuharibu na matusi
Jaribu sanaNa Mimi Sijambo Kabisa, Ni Nani Anahusika Na Usajili Hapa Makapuku Forum Kwani Nataka Kujisali Hapa?