Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Shikamoo binamu
...marhaba binamu, mnaendeleaje? Unajua nini? Ngoja nikuambie
Ni jambo zuri kukuona hapa
Shikamoo binamu
Asante binamu hata mm nafurahi kukuona hapa...marhaba binamu, mnaendeleaje? Unajua nini? Ngoja nikuambie
Ni jambo zuri kukuona hapa
Muziki: Ujana Unapita Kasi
...kuna wakati nakaa na kutizama nilipotoka na kupita, nimepitia mengi. Yapo yanayonihuzunisha na kusema bora nisingefanya na yapo mengi yanayonijengea tabasamu na kunifanya nijisikie wa kipekee na hiki ndo kinanifanya nikusalimie wewe Kapuku unayenisoma muda huu. Ujue nini, kuna kitu huwa sitachoka kukwambia, unakijua na ninakukumbusha tu. Wewe ni wa kipekee na uwepo wako hapa unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo. Asante.
Ujana maji ya moto, sasa hapa ndo utashangaa kwanini vijana wanaoga maji ya baridi na wazee tunaoga maji ya uvuguvugu.
Muziki sasa, burudika kuelekea Ijumaa na video imeganda
Njema mkuu mambo vipiHatujambo moud habari ya wewe
Tuko poaWana wanchi hamjambo humu wakuu
Wana wanchi hamjambo humu wakuu
Poa ebu tuwekee mapicha jamaniNjema mkuu mambo vipi
Tuko poa
Yanga yako ilishapotea mkuu, omba Mungu yule kibopa amalize mambo yake l, vinginevyo mtaumia sanaDu mwenyewe niko mbali na timu.. Nahisi ningekuwa karb ningejua

Marahaba Tumosa. Hujambo?Shikamooo
Mkuu sakayo habari yakoShkamoo
Sijambo tunafurahi umetutembelea uctusahau sanaMarahaba Tumosa. Hujambo?
Asante kwa salamu na Mungu Aendelee kukubariki...
Mkuu shunie mamboMfyuuuuu
Yanga yako ilishapotea mkuu, omba Mungu yule kibopa amalize mambo yake l, vinginevyo mtaumia sana![]()
![]()