Makapuku Forum

Makapuku Forum

Taifa hili, linasikitisha linahuzunisha na kuchekesha kwa wakati mmoja.

...huwezi kuamini kama msomi nguli anaogopa deni, yaani hela za makinikia au tanzanite zisitangazwe, kweli!!! Ni hakika, linahuzunisha,, kuchekesha kwa wakati mmoja. Msomi mzima tena wa sheria mimi wa sayansi kimu sijui nifanyeje
 
...huwezi kuamini kama msomi nguli anaogopa deni, yaani hela za makinikia au tanzanite zisitangazwe, kweli!!! Ni hakika, linahuzunisha,, kuchekesha kwa wakati mmoja. Msomi mzima tena wa sheria mimi wa sayansi kimu sijui nifanyeje
Ukichanganya ujinga wa kuzaliwa na ujinga wa elimu yetu ndio wanatapika utahira tuuu
 
Muziki: Taratibu


Usiwe na haraka ya kuharakia visivyoharakiwa na ndo maana ninakusalimia kapuku wewe unayepafanya hapa kuwa sehemu nzuri kuwepo. Wewe ni wa kipekee sana na sina kingine cha kukuambia zaidi ya kusema asante kwa kulifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kutembelea.

Muziki sasa, juma tushaligawa kati na kwa wafungaji tunahesabu single digit sasa na world cup ndo inakaribia.

 
Muziki: Taratibu


Usiwe na haraka ya kuharakia visivyoharakiwa na ndo maana ninakusalimia kapuku wewe unayepafanya hapa kuwa sehemu nzuri kuwepo. Wewe ni wa kipekee sana na sina kingine cha kukuambia zaidi ya kusema asante kwa kulifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kutembelea.

Muziki sasa, juma tushaligawa kati na kwa wafungaji tunahesabu single digit sasa na world cup ndo inakaribia.

Asante binamu
 
Asante binamu yangu si unajua magazeti nakuwekeaga wewe tu


...nami sina namna zaidi ya kukushukuru zaidi maana hata wengine wanasomaga bila matatizo labda wawe na matatizo ya bando jambo ambalo hatuwezi kuwa na namna ya kuwasaidia. Ni tatizo lao binafsi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom