Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Hahahahahaha tatizo ulisahau kuwa unapambana na Iron lady![]()
yani na kukuviziakote nimechemka
Hahahahahaha tatizo ulisahau kuwa unapambana na Iron lady![]()
yani na kukuviziakote nimechemka
Sana ndioUnajua kulengeshea balaa
Sawa mana kuna kubahatishaUnataka tena![]()
![]()
![]()
![]()
Hata tutaonana tena basi
Desa ni kitabu au daftari(material)Kuna jambo nahitaji kufahamu kiufasaha!,
Neno "DESA/KUDESA", Ni neno ambalo nimelisikia Sana kwa wanavyuo, ninachotaka kujua nini;-
Chanzo/Asili ya neno desa?,
Nini maana kamili?,
Ni la kiswahili/la kuzuka/la kigeni?(kama ni la kigeni linaandikwaje kwa usahihi?),
Linatumika kwa jambo zuri au baya?.
Nawasubiri......
Sasa kushadadia nimtag my babe inahusu??Kwnn wataka nipitwe!
Unasemaje nimebahatisha wakati nilikutaarifu toka jana??Sawa mana kuna kubahatisha
Yawezekana ilikua siku yako leo
Huyu wa kuficha atakuwa wa kukojoz... tu hakuna zaidiSasa kushadadia nimtag my babe inahusu??
Asante, ila Kuna kauli nimewahi kusikia kwenye siasa zetu za majitaka:- ...aah wapi mbona mh....., masters yake Ni ya kudesa Tu...!, kwa hapo nikachanganywa Na kuanza kuhisi labda kuigiliza kutoka kwa mwingine pia Ni kudesa!Desa ni kitabu au daftari(material)
Ukisema kudesa ina maanisha kusoma
Ni neno tu la kuzuka km vile Joto City.......
Kwa kiingereza ni MATERIAL
Asili yake ni vyuoni
ndo ninavyoelewa
........................
Maana yake Masters yake ni ya kusoma tu(kukariri) lakini kichwani hamna kitu japo kafaulu chuoAsante, ila Kuna kauli nimewahi kusikia kwenye siasa zetu za majitaka:- ...aah wapi mbona mh....., masters yake Ni ya kudesa Tu...!, kwa hapo nikachanganywa Na kuanza kuhisi labda kuigiliza kutoka kwa mwingine pia Ni kudesa!
Du kuna kuharibiana piaJimena ilinibidi nimdanganye yule mlaku kuwa lizzie ni dume ili akate tamaa, sasa si kakimbia!


UTAJIJUHuyu wa kuficha atakuwa wa kukojoz... tu hakuna zaidi
Hii ni mbinu ya kivita mkuu, unamtisha mtu kwa maneno hadi analegea mwenyeweDu kuna kuharibiana pia![]()
![]()
Huyo pastor fake ndio zake mbonaDu kuna kuharibiana pia![]()
![]()