Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Shikamoo binamu
...Furahiday leo, usiifanye nikaonekana mzee na shikamoo zako za usiku. Ndo maana offer zangu nasemaga ujinunulie
Shikamoo binamu
Anko binamu nilipita ila haujanitendea haki mbona nasikia leo umepita na ulitoka na yule cheupe...bora umekuja anko, kuna mengi sana. Ulipitia pale kwa juzi?
Jamani binamu kwahiyo hutaki shikamoo...Furahiday leo, usiifanye nikaonekana mzee na shikamoo zako za usiku. Ndo maana offer zangu nasemaga ujinunulie
Jamani binamu kwahiyo hutaki shikamoo
...naitaka lakini sio kwenye mazingira ya leo, hapa leo ni mwendo wa kuitana baby. Usione aibu kuniita baby, kama hutaki watu wasikie ninong'oneze baby Obe shikamoo
Anko binamu nilipita ila haujanitendea haki mbona nasikia leo umepita na ulitoka na yule cheupe
Mfyuuuuuu baby sio kila mtu anaitwa ebu uko
Nafurahi sana kusikia hivyo mjukuu wanguNimesalimika ndio
We Obe c aunty yako huyo..... Wacha mambo za incest bana...naitaka lakini sio kwenye mazingira ya leo, hapa leo ni mwendo wa kuitana baby. Usione aibu kuniita baby, kama hutaki watu wasikie ninong'oneze baby Obe shikamoo
Mfyuuuuuu baby sio kila mtu anaitwa ebu uko
...mimi nimetoa option, kama hutaki unaacha. Mbona BH ananiitaga baby
Yaan binamu wee achaa ...tatzo mrangi wako tulishindwanaa alitaka kunichaji kwa dk kama ulichofanyiwa na zungu ..ila nkampangaa akaingia king na uzuriii namba yangu mpya hana...nashukuru Nasra kafunga vinginevyo timbwiri lake lingekuwa la kuanzia mwezi wa sita. Sasa ulifanikiwa kumlipa yule mrangi maana alikuja kudai kuwa ulimla kwa mkopo, eti unasubiri upate mafao ya babu
Nafurahi sana kusikia hivyo mjukuu wangu
We Obe c aunty yako huyo..... Wacha mambo za incest bana
We Obe c aunty yako huyo..... Wacha mambo za incest bana
Babu we sio msemaji wangu jamani
...mmmh, hawa mababu sio wa kuwaendekeza kabisa wanaweza wakaomba kufundisha ujuzi.
Kila la kheri binamu ktk utaratibu hukoKuna jipya wadau?
Kama hakuna basi hata mimi sina ila nawasalimia tu halafu niendeleaa na utaratibu wangu wa kila muda huu siku za Ijumaa
LipiJipya lipo
Shikamoo...Furahiday leo, usiifanye nikaonekana mzee na shikamoo zako za usiku. Ndo maana offer zangu nasemaga ujinunulie
...naitaka lakini sio kwenye mazingira ya leo, hapa leo ni mwendo wa kuitana baby. Usione aibu kuniita baby, kama hutaki watu wasikie ninong'oneze baby Obe shikamoo