makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,979
- 104,442
Mie sijaamka salama, nimeamka mwajuma.Makapuku wenzangu mmeamka salama?
CC:Omarion 5
Obe
Shululu
Mbalizi 1
Sakayo
Shunie
Tumosa
And all kapuku who in the 'town'
Mie sijaamka salama, nimeamka mwajuma.Makapuku wenzangu mmeamka salama?
CC:Omarion 5
Obe
Shululu
Mbalizi 1
Sakayo
Shunie
Tumosa
And all kapuku who in the 'town'
Maka akee za weweAmin shemela.
Makapuku wenzangu mmeamka salama?
CC:Omarion 5
Obe
Shululu
Mbalizi 1
Sakayo
Shunie
Tumosa
And all kapuku who in the 'town'
Ni poa, za wewe shunie akee!!Maka akee za wewe
Unajua
Ni poa, za wewe shunie akee!!
Marahabaa mjukuu wangu... Hujambo wewe?Salama shikamoo babu
Ooooh mjukuu wako mshamba mie'town' means KF
Marahabaa mjukuu wangu... Hujambo wewe?
Umesalimika kabisaSijambo mie
Umesalimika kabisa
Kuna jipya wadau?
Kama hakuna basi hata mimi sina ila nawasalimia tu halafu niendeleaa na utaratibu wangu wa kila muda huu siku za Ijumaa
Muziki: Taratibu Kuburudika
Usitumie pupa sana kuikaribia wikend, wikend haitakagi papara yaani ni kama salamu ya asubuhi, inataka utulivu na kujipanga,. nami ninakusalimia muda huu na kukutakia wikend njema.
Muziki sasa, burudika taratibu acha papara
Jipya lipo