Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013





kwahiyo binamu umechukia nilivyokutambulisha wewe ni dj unakana kazi yako leo
...nimeona binamu, kuna watu wana roho ya korosho, yaani kaona udj tu ndo natambulishwa wakati huwa hata naandikaga kabisa mambo mazuri. Au na wewe huwa huyaoni maana nakuangalia tu unavyogeuzageuza macho ukiwa unanisoma
Woooimkaribishe mgeni
Huko alikotokaWapi huko dada watu wamenuna
HahahahaBora kiboko yake umekuja![]()
WoyooooUnataka niwe laini laini nikulwe tu kifwala
Huko alikotoka
Woyoooo
kwahiyo binamu umechukia nilivyokutambulisha wewe ni dj unakana kazi yako leo
HahaahHahhaahha kwenye thread yake
Hujakosea mdogo ake SakayoAu dada akee shunie nimekosea jamani
...sijachukia aunt, sema mbona umesema kazi moja tu wakati ninazo mbili? Ujue mbili zinaongeza maksi
Hahhaha kanuniwa na nani jamani mbona sielewiHahaah
Mwenyewe anajua anakonuniwa, sijui ni MMU au ni chit chat
Namwogopa mbalizi 1Nisubirie twende wote
Hakuna kukulwa kifwalaHujakosea mdogo ake Sakayo
Chini wapi tena huko?...alikataa, alisema ana allergy, akila zinampa muwasho chini
Basi nisamehe banaMjumbe ni adui, na mchonganishi!