Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
EwaaaaaNakandamizia
EwaaaaaNakandamizia
HahahahaMakuuubwaaaaaa
KwendaAnapimia nn... Hebu tutoe ushamba
Mpendwa wako mimi akiHahahaha
Wewe si mpendwa wanguu aki?!
Usihuzunike mpendwa wanguu, we wangu mie wako!Mpendwa wako mimi aki
Amin chief!! Kila lenye kheri ndugu yangu..Tuwe na asubuhi njema, Sakayo tunafurahi kusikia umepona na unatimiza majukumu yako. Endelea kutabasamu dawa zifanye kazi.
makaveli10 tuko pamoja braza, funga hii itusaidie sore kiafya na kiimani, Amin.
Wishing you good people a great rest of the day
Shemela umekunywa nn leoUnaujuaa utamu wenuu ??
Yaan kama unakula nyama na kufyonzaa urotoo
Ntaringiaje wakati haipo babuWenzio wanaringia chura wewe unajificha
Mmoja huyo ndo katuharibia woteYaani mara moja hii amekufanya mshika pembe.......hao ndo wanawake katika ubora wao
CC:Sakayo

Na mm unigawie shemelaAmin chief!! Kila lenye kheri ndugu yangu..
Usisahau leo kupitia home nina tende kiroba kizima.
Wooooooooiiiiiiii wooooooooiiiiiiiiiUsihuzunike mpendwa wanguu, we wangu mie wako!
Huyo mzee asikuchoshe
Kuna mahali nilikuwa nakusomaWooooooooiiiiiiii wooooooooiiiiiiiii
Wapi tena huko jamaniKuna mahali nilikuwa nakusoma
Nimeumia sana
Sawa bwanaWapi tena huko jamani
Mngh!Sawa bwana
Uache kumuumiza mpendwa wakoMngh!
Najua chochote sasa!!Uache kumuumiza mpendwa wako
Kaangalie ulimopita leoNajua chochote sasa!!
Tumosa mimi napita maeneo likuki sana humu ,jukwaa moja tu nisilolipenda la Siasa, kwingine kote napita aidha kimyakimya au kwa kukomenti siwezi jua nimemkwaza wapiKaangalie ulimopita leo![]()
![]()
![]()
![]()
Atakuwa ananyatia kila unapopita