Makapuku Forum

Makapuku Forum

Useme wewe ndio umemwambia mm dada akee shahidi tumosa

...mmh, hivi kweli Tumosa mimi nikiwa na kesi anaweza kunisemea jambo zuri kweli? Unajua kabisa hata kama sijasema atasema nimesema.

Hivi ni mimi ndo nilisema umemuita kaka au ni wewe wakati jamaa anakuzoza ukamkana anko wangu? Au nilikuwa nasoma vibaya
 
Hahhaha nimemkanya lini mm mjomba ako nimemwambia ukweli yeye kapotea mm siwezi kufwa na hamu niko na mume mwingine jamani
...mmh, hivi kweli Tumosa mimi nikiwa na kesi anaweza kunisemea jambo zuri kweli? Unajua kabisa hata kama sijasema atasema nimesema.

Hivi ni mimi ndo nilisema umemuita kaka au ni wewe wakati jamaa anakuzoza ukamkana anko wangu? Au nilikuwa nasoma vibaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom