Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
![]()
![]()
![]()
![]()
Unataka umtag nani binamu mm ntakufundisha ctaki upate shida
...sijamuona anko wangu, ndo nataka kumtag, utanifundisha aunt yangu akijibu
![]()
![]()
![]()
![]()
Unataka umtag nani binamu mm ntakufundisha ctaki upate shida
Sawasawa binamu akijibu nishtue...sijamuona anko wangu, ndo nataka kumtag, utanifundisha aunt yangu akijibu
Ewaaaaaaa my Sakayo
WoyoooooooooThat's my Mbalizi
Wivu sina roho inauma.... Shunie unikubali basi na mimi niwe na mbebez..![]()
Ila kwa msoto huu naimagine siku ukimweka kwenye reli maaaaaaamaaaa maaaaamaaaaa maaaaaamaaaaaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
WoyooooKhaaaaa mbebez ninae mie wawili nawagawa vipi
Tafasir Unavyoweza: Msongo Haukimbiwi
Karibu tena hapa, usidhani naishi kwenye dunia ya peke yangu. Unayopitia nami ndo napitia, tunatofautiana kiwango tu. Kuna wakati unakuwa na furaha na wakati mwingine unakuwa na upweke. Sio upweke kwa sababu unakuwa peke yako huna kampani, la ni upweke wa akilini. Huu ndo unaitwa msongo kwa taarifa yako. Msongo ni hali ya kihisia (emotional) ambayo huja kwa sababu ya kunia, kuwaza kulikopitiliza (demanding circmustances). Msongo kwa ufupi hunyong'oza na kumfanya mtu mtupu. Msongo huleta magonjwa na ni hatari kwa afya ya akili.
tunatofautiana sana katika kukabiliana na msongo, hii ni kwa sababu kila mtu ana msongo au misongo yake. Wanaume tunatofautiana sana katika kukabiliana na msongo, wengi wetu huamua kupambana na msongo kwa kujaribu kupambana nao badala ya kuutatua. kupambana na msongo utashindwa wewe, tafiti zinaonesha hivyo. usijidanganye kushindana nao (fight) na ndiyo maana tunaposhindwa huamua kuukimbia (run/flight). Ushahidi unao ulipo, wanaume wengi ndo wa kwanza kukimbia nyumba zao, na wengine kama wasipokimbia basi huwa walevi 'mbwa'.
Kwa wanawake ni tofauti, wao huukabili msongo kwa namna ambayo huushinda msongo mara nyingi, moja, wao hujipa muda kuujua chanzo na kisha hujichanganya na watu wengine, hueleza kinachowasumbua kwa marafiki zao na ndiyo tiba yenyewe. tafasiri unavyoweza.
pambana na msongo kwa kuweka wazi kinachokukabili, kuishi na msongo kunaumiza na kunakufanya kichaa mwenye jina. tafasiri unavyoweza.
MfyuuuuAiseee hata wewe
C ndo ulinziii
...sijamuona anko wangu, ndo nataka kumtag, utanifundisha aunt yangu akijibu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unataka umtag nani binamu mm ntakufundisha ctaki upate shida
Muziki: Sina Maneno
Salamu tu inatosha na ninakuacha uburudike maana muda umekwenda sasa.
Anko wako mm si ni dada akee jamani
Binamu unataka kumtag nani
Mngh!
Upambe tu
Useme wewe ndio umemwambia mm dada akee shahidi tumosa...ha hahahhaha, duh, kama imeshakuwa hivyo sijui hata niseme nini







...nilitaka tu kujua namna ya kumtag mtu, ili siku nyingine nikiandika kitu hata wewe nakutag, si unajua mimi ninavyopendaga usome mambo mazurimazuri