Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,652
Kwahiyo binamu siku zote huwa naandika pumba
..usinilishe maneno, sijasema hivyo. Sema hiki nilichosoma leo tangu mfungo uanze kimenibamba ndo maana nikakupa offer ya kinywaji.
Halafu, hata kama ningesema huwa unaandika pumba (kitu ambacho huwa huandiki) hakuna ubaya maana kwenye pumba tunazipepeta tunapata mchele wa vitumbua. Na ninavyopenda kitumbua sasa 😉
