Makapuku Forum

Makapuku Forum

Pole sana tafuta mbebez utapona weka bandiko la kutafuta mchumba watakuja wengi pm unachuja unayemtaka
Shunie mpenz sio kama kwenda kuchagua nyanya gengeni japo inategemea mtu una prefer vitu gani. Napenda nakua na mahusiano na mtu ambae nina feeling nae. sio kuokota tu
 
Shunie mpenz sio kama kwenda kuchagua nyanya gengeni japo inategemea mtu una prefer vitu gani. Napenda nakua na mahusiano na mtu ambae nina feeling nae. sio kuokota tu
Ngoja nikwambie Brian mda mwingine inabidi tuforce tu feeling ujue unavyozidi kuwa karibu na mtu badae unakuja tu kumfeel
 
Ngoja nikwambie Brian mda mwingine inabidi tuforce tu feeling ujue unavyozidi kuwa karibu na mtu badae unakuja tu kumfeel
Nakubaliana naww shunie ukaribu ndio unawesa lete hisia. but Eti niseme kua nataka mpenzi kwasababu tu nina shida ya fulani sidhani kutakua na utofauti na msichana wa sinza mori niliyemnunua
 
Nakubaliana naww shunie ukaribu ndio unawesa lete hisia. but Eti niseme kua nataka mpenzi kwasababu tu nina shida ya fulani sidhani kutakua na utofauti na msichana wa sinza mori niliyemnunua
Basi kama ni hivyo acha mda uongeee hiyo kitu itatokea tu automatically tusiforce kila kitu kina mda wake kingine maombi ni muhimu sana
 
Ngoja nikwambie Brian mda mwingine inabidi tuforce tu feeling ujue unavyozidi kuwa karibu na mtu badae unakuja tu kumfeel

..unatumia kinywaji gani ujinunulie kwa faida ya kuandika jambo zuri tangu mwezi mfungo umeanza! Sema kinywaji chochote, usiogope bei, ujinunulie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom