Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Hapahapa ili tujue kama ni yy au dogoAweke picha wapi tena jamani
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Hapahapa ili tujue kama ni yy au dogoAweke picha wapi tena jamani
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Umeadimika mdogo wangu mm
Shikamoo binamu...sikuwa na data, ndo nimeweka bando muda huu nikaona nipitie kwanza MF nijue na bahati nzuri nikakuta umeweka magazeti ndo nikaona hakuna ubaya kusema asante, si unajua ndugu yako mimi sio mchoyo, wa asante.
Marhaba, ngoja nijiandae niandike kitu kifupi tu.
Shikamoo
Ndio umechelewa
Hawajambo binamu waja lini kuwasalmia
Nafurahi kukuona hapa anko, nakuona unatumia JF mobile app kuvinjari hapa 🙂
asantee nafurahi pia kukuona Hawajambo binamu waja lini kuwasalmia
Me nilikuwa bize na nini we mwanamkeHe he nimekuona upo busy jamani
Unakana jamani si nimekukuta upo busy na mleta thread
Unakana jamani si nimekukuta upo busy na mleta thread



khaaa shuniiiHongera binamu...si wanasemaga kuchelewa si kutofika, bora nimeshukuru kuliko ningesoma na kupita kimyakimya. Si kawaida yangu, uchoyo wa asante sijabarikiwa
Nafurahi kukuona hapa anko, nakuona unatumia JF mobile app kuvinjari hapa 🙂

Hbr ya cku