Makapuku Forum

Makapuku Forum

...sikuwa na data, ndo nimeweka bando muda huu nikaona nipitie kwanza MF nijue na bahati nzuri nikakuta umeweka magazeti ndo nikaona hakuna ubaya kusema asante, si unajua ndugu yako mimi sio mchoyo, wa asante.

Marhaba, ngoja nijiandae niandike kitu kifupi tu.
Shikamoo binamu
 
Back
Top Bottom