Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Aweke pchaWoyooooo hapo sasa sijui nitaamini vipi shunie mm jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Aweke pchaWoyooooo hapo sasa sijui nitaamini vipi shunie mm jamani
Ndiwoooo sijakuzoea hivyo mie
Aweke picha wapi tena jamani
Nimekumiss mama... Popote utapomwona Hajar mpe salamu zanguKunikosa wapi huko tena mkuu
Asante mkuu kwa kunimiss jamani usijali salaam zimefika
Mzima wewe
Me sijambo mwayaaMzima wewe
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Za kupotea kuna sehemu nilikuona sijui ni jana mmu
Za kupotea kuna sehemu nilikuona sijui ni jana mmu
kwanini hukunisalimia jamni...za leo!
He he nimekuona upo busy jamani
Binamu unashkuru vipii jioni jamani mda wote ulikuwa wapi shikamoo kwanza
Sawa binamu...sikuwa na data, ndo nimeweka bando muda huu nikaona nipitie kwanza MF nijue na bahati nzuri nikakuta umeweka magazeti ndo nikaona hakuna ubaya kusema asante, si unajua ndugu yako mimi sio mchoyo, wa asante.
Marhaba, ngoja nijiandae niandike kitu kifupi tu.
Obe.....sikuwa na data, ndo nimeweka bando muda huu nikaona nipitie kwanza MF nijue na bahati nzuri nikakuta umeweka magazeti ndo nikaona hakuna ubaya kusema asante, si unajua ndugu yako mimi sio mchoyo, wa asante.
Marhaba, ngoja nijiandae niandike kitu kifupi tu.
HahahaaaNdiwoooo sijakuzoea hivyo mie
Sent from my SM-G920P using Tapatalk