Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Umbea huoKwahiyo shem ulijikuta umepitiwa pekea ako au mlipitiwa wote na tumosa
Umbea huoKwahiyo shem ulijikuta umepitiwa pekea ako au mlipitiwa wote na tumosa
Vizuri shem unamfahamu mbebez wako hakusumbui halafu akifika atajifanya kama hakujui kumbe mlikuwa wote

eeee mrembo nakusalimia
Utoto gani tena?Hebu acha utoto basi
Ata aseme una nundu kibyongo mi nshapenda... Siangalii!!!Ukimaanisha
Unachuma mate-mbeleKwahiyo nainama naokota nn kwa mfano mpaka niiname
HmmmmmmmNdiwooo
Bado mpaka sasa hivi saa 14:10Kwani umemtumia kweli
Bora umwambieHahhahah dada acha mambo zako bana
Nimemnyima nn mdogo wako?Babu mchoyo
Hapo ndo unaponichanganya
Unaona eehYaan wewe bwana hueleweki tunapanga vizuri wenyewe halafu unageuka
MmmhUtoto gani tena?
Ha ha ha ha ha.... Yaani wewe... Hutaki mdogo wako achukuliwe eeh?Sasa namba nilimpaa
HelaNimemnyima nn mdogo wako?
Atakuja jionShululu here!!???