Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 464,001
Acha pabaya paniite tuSivyo hivyo mjukuu wangu.... Isije ikawa mkataa pema...............!?
Acha pabaya paniite tuSivyo hivyo mjukuu wangu.... Isije ikawa mkataa pema...............!?
Basi ndo hivyo.... Hakuna roho kongwe kwenye 'vinono'.......halafu sisi wazee mjukuu wangu hatulagi chips mayai.... Ni mwendo wa supu ya Samaki tuu..... Saa zote unasikia 'joto'.....Nilikuwa sijui






Mungu asiikubali duwa yako hiiAcha pabaya paniite tu
Sawa babu yake shunie wamekusikiaBasi ndo hivyo.... Hakuna roho kongwe kwenye 'vinono'.......halafu sisi wazee mjukuu wangu hatulagi chips mayai.... Ni mwendo wa supu ya Samaki tuu..... Saa zote unasikia 'joto'.....![]()
Sio Mungu ninayemwabudu mmMungu asiikubali duwa yako hii
Naona ameshakuja kukudanganya danganya my love tumo, my swii tumoo mama wawili
acha anidanganye tu jaman
Endelea kudanganywa tu mama hakuna namna![]()
![]()
![]()
acha anidanganye tu jaman
Unataka kila upendo niukubali eenh
Kwa kweli hata mm npo tayariEndelea kudanganywa tu mama hakuna namna
Kila la heri mpaka ukutane na bango sikutakiiiii ndio utageuza njiaKwa kweli hata mm npo tayari
Yap hayooShikamoo pole na maandamano
EwaaaaaaaSawa babu yake shunie wamekusikia
Sio Mungu ninayemwabudu mm





Yaani mjukuu sijui lini utanyooka!!!!!????Kufanyaje?Kwa kweli hata mm npo tayari
Sawasawa mke mweeeKila la heri mpaka ukutane na bango sikutakiiiii ndio utageuza njia
Ulikuwa wap kwanYap hayoo
Kumsubiri baba wawiliKufanyaje?
Kunyooka kuhusu nn tena babu yake shunieYaani mjukuu sijui lini utanyooka!!!!!????
We mkubali T tu.... Baba wawili kashatekwa humu humu..... Sasa atabadili Id.... We subiri tu.Kumsubiri baba wawili