lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
Ngoja nikaushe mkuu, protokali imezingatiwa... you are my chief at the end, japo ndo ivo kamera ilikunasa!!Acha zako wewe..... Kweli itakuweka huru
Ya kusema tena haya??? Mbona zishatembea muda tu
Ni shiiida sana mjini![]()
.............
alafu eti kutuficha kuwa jiko ni lake, akaamua kwenda kumfungulia thread yake peke yake kule celebrity forum ili tusijue badala ya kumuweka hapaaa![]()
![]()
itakuwa ndo maana akampost kule.
Nimsitili = nimsitiri.Ngoja nimsitili tuu si unajua tena ye ndo chief incharge asije akanibambikiza kesi lindoni

Hahahaaa hata mm nilikuwa najiuliza y asimfungulie huku, Bitoz ni kweli?alafu eti kutuficha kuwa jiko ni lake, akaamua kwenda kumfungulia thread yake peke yake kule celebrity forum ili tusijue badala ya kumuweka hapaaa
Mbona nimemweka pia hapa au hujaonaalafu eti kutuficha kuwa jiko ni lake, akaamua kwenda kumfungulia thread yake peke yake kule celebrity forum ili tusijue badala ya kumuweka hapaaa
Excuses zimeanza......Ngoja nikaushe mkuu, protokali imezingatiwa... you are my chief at the end, japo ndo ivo kamera ilikunasa!!
sawa..!!
Kwasababu anajua kupika supusawa..!!
lakini kwanini ulimpa jiko Gigiy?