Sasa shem si umfate kwa chemba akija anakutana na ujumbe wakesawa shem, nakupa pongezz coz najua ulikua unateseka sana,
anyway mwambie tumoo akuje kwa chemba nina mazungumzo ya kutoa posa next day
mY luvly 1 " cheko lako " nizaidi ya mvuto wa hali ya hewa ya asubuhi kwangu..."" luv u
...kumbe wewe hunipendi kabisa yaani ndo najua leo, si ungeniambia mapema, me sio tu ningemfunglulia siredi, ningemwanzishia forum kabisa. jengea yeye webuside, nunulia simu ya Singsung yenye kamera na blututhi

niko hapa..madame ""Woyoooooooooo jamani mpaka sasa hivi ebu muamshe
Hela unalipia kwangu mm ndo napokea yaani...nitaenda, je nikitaka kuandika lazima niwe member, yaani nilipie au ni mambo ya bure
Hata cielewi yaani@tumosa hicho kicheko ni cha hapa hapa MAKAPUKU ama nimekuhamisha fikra?
Asante kwa magazeti mbebez wa Davet
mahaba niteketeze..anayo nipa huyo " mrembo mteke Mwenye ngozi laini " mithili ya katoto kachanga...sipo Tayari kuyakosaWoyooooooooooo haya ni mahaba niue
He he niache mama hakuna wa kunifundisha mimi nimeishi na baba angu mlezi alikuwa mnyaki si unawajua wanyaki wakija kina aunty ni kinyaki tu lazima utagusa gusa hata kimoja

Husna umemuacha?...BH tu atosha