Makapuku Forum

Makapuku Forum

wee acha bhna, kwamba siku zote hizo bado walikua wanakubania??? but pole na hongera, vip huja muona tumosa???/
Kweli shem unakumbuka nilikwa nakwambia hata ukiniqoute sijui mpaka nirudi kwenye thread kuna ww kuna hearly pia kuna watu kama wanne hivi sipati notification zao wewe zimeanza leo

Mbebez wako tumosa bado hajaingia atakuja tu
 
Kweli shem unakumbuka nilikwa nakwambia hata ukiniqoute sijui mpaka nirudi kwenye thread kuna ww kuna hearly pia kuna watu kama wanne hivi sipati notification zao wewe zimeanza leo

Mbebez wako tumosa bado hajaingia atakuja tu



sawa shem, nakupa pongezz coz najua ulikua unateseka sana,
anyway mwambie tumoo akuje kwa chemba nina mazungumzo ya kutoa posa next day
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom