Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Naam dadake nakuona unanitengaKaka yngu
Naam dadake nakuona unanitengaKaka yngu
Sawa dadakeKaka huyu ni mdogo wetu Shamma ndo shemeji yetu
Ewaaaa kumbe unajua anapatkana wapChelewa chelewa nayo hatari zaidi kipenzi
Najianda nije SONGWE
@A
Si huyo anakuuliza umeshakula lunch kama hela alikutumiawapi wee
Sawa dadakeSweetlee yupo kaka asubuhi alikuwepo hapa
Safi aisee nimewamisi humu balaaPoa za wewe
Dadake acha hizo basi chukua hiyo shikamooBaki na shikamoo yako tu
Ya nn mm sihitajiDadake acha hizo basi chukua hiyo shikamoo
Tumekumiss pia karibu sanaSafi aisee nimewamisi humu balaa
Unacheka nini dadaHahahaaaa
Songwe kubwa sana hata huku ileje ni songweEwaaaa kumbe unajua anapatkana wap
Sawa habari yako?Ya nn mm sihitaji
Tafadhali kumuumiza mdogo wangu c unaona alivonoga
AsanteTumekumiss pia karibu sana
Yale si yalifanyika nje ya nchi tu ila hapo Dar nasikia walikamatwa watano usikute ni mmoja wao
Salama habari ya weweSawa habari yako?