eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Kwa hiyo umemsaliti au yeye kasalitiTumebaki mazoea tu niko na mume mwingine jamani sijui katekwa kwenye maandamano
Maandamano yale ya mkwajuni au yapi hayoAlienda kwenye maandamano mpaka leo hajarudi
Woooooyooo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
For no reason
![]()
Tumosa my dear, u haki gani leo?Woooooyooo
C aliteuliwa shemela labda anamuwakilisha alomteuaSasa ni mbunge wa wapi na atakuwa anamuwakilisha nani!?![]()
![]()
ObeAunt yangu, wimbo huu mbona niliuweka jana Ijumaa? Hukuwepo nadhani.
Nitauweka tena wiki ijayo maana wikend siku hizi tangu mwaka uanze huwa siweki muziki, nasave bundle niangalie mpira
AmenPsalm 107:1
"Give thanks to the Lord for He is good: His love endures forever."
Tupo hapaHeko kwa Wamama wote (Happy Mother's Day)
Nko poa naona mambo c mabaya kwa mdogo wnguTumosa my dear, u haki gani leo?
Bongo bwana, usungura usungura tu!!C aliteuliwa shemela labda anamuwakilisha alomteua

Hongereni sana, nawapenda mnoo..Tupo hapa
We love u tooHongereni sana, nawapenda mnoo..
Na kwako pia TumosaMuwe na mchana mwema wapendwa
Manga mambo vp,umeadimika hebu niambie chimbo lako liko wapNa kwako pia Tumosa