Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
HatujamboNaendelea poa tu shemela, sijui nyinyi huko.
HatujamboNaendelea poa tu shemela, sijui nyinyi huko.
Infuse your life with action. Don't wait for it to happen. Make it happen. Make your own future. Make your own hope. Make your own love. And whatever your beliefs, honor your creator, not by passively waiting for grace to come down from upon high, but by doing what you can to make grace happen... yourself, right now, right down here on Earth.

Onga mchweo mjukuu wangu?
Emancipate yourself from mental slavery, non but ourselves can free our minds.Ni kansa ndo ilimuondoa, hadi mauti yanamkumba mwaka 1981 mwezi Mei tarehe ya leo (Mei 11, 1981) alikuwa akivuta nusu kilo ya bangi kwa wiki. Alifariki akiwa kijana tu ana kwa kuwa aliacha vitu vingi vya kukumbukwa, hajawahi kufa mioyoni na masikioni mwa wote wanaopenda kusikia nyimbo zake.
Namuongelea mwanamuziki na miongoni mwa watu maarufu duniani Robert Nesta Marley, Bob Marley kwa umaarufu. Mzungumzaji wa taratibu aliyeamini katika imani ya kirastafari. Aliingia katika mgogoro na aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Jamaica Michael Manley.
Akiwa nyumbani kwake mwezi December 1976 akijiandaa kutumbuiza tamasha la muziki alipigwa risasi, hazikumuua na watuhumiwa hawakupatikana. Bob Marley alimtuhumu waziri mkuu wa wakati huo kwa tukio hili.
Bob Marley, umeondoka lakini muziki wako unaishi na unabeba yote kila mmoja anayotaka kusikia leo na kesho.
Nafurahi kwa kweli!!Hatujambo
Hapa kamkosa fally ipupa tu nadhani ingekuwa inogile zaidi.Muziki: Ijumaa Njema
Ninakusalimia Kapuku na kukupongeza kwa kuweza kuifikia siku na jioni ya leo. Ijumaa ni siku nzuri, wapo tunaokwenda kuswali na wengine ndo tunamalizia kazi za kuanzia Jumatatu.
Furahiday sinaga mengi, ni burudani kwa kwenda mbele, niko Shinyanga wiki hii na nimejikalisha hapa Bakulutu pub, napoza koo
Kwa kifupi waambie wewe ndio steringi wa maisha yako, hakuna mwingine, nawe pia ndio adui wa maisha yako pia.. Ukiamua kufanya utafanya, ukiamua kukaa tegemea kuganda hapo hapo na kugeuka jiwe la chumvi. Maisha ni hatua pasina kunyanyua mguu huwezi kusogea.Infuse your life with action. Don't wait for it to happen. Make it happen. Make your own future. Make your own hope. Make your own love. And whatever your beliefs, honor your creator, not by passively waiting for grace to come down from upon high, but by doing what you can to make grace happen... yourself, right now, right down here on Earth.
Ni kansa ndo ilimuondoa, hadi mauti yanamkumba mwaka 1981 mwezi Mei tarehe ya leo (Mei 11, 1981) alikuwa akivuta nusu kilo ya bangi kwa wiki. Alifariki akiwa kijana tu ana kwa kuwa aliacha vitu vingi vya kukumbukwa, hajawahi kufa mioyoni na masikioni mwa wote wanaopenda kusikia nyimbo zake.
Namuongelea mwanamuziki na miongoni mwa watu maarufu duniani Robert Nesta Marley, Bob Marley kwa umaarufu. Mzungumzaji wa taratibu aliyeamini katika imani ya kirastafari. Aliingia katika mgogoro na aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Jamaica Michael Manley.
Akiwa nyumbani kwake mwezi December 1976 akijiandaa kutumbuiza tamasha la muziki alipigwa risasi, hazikumuua na watuhumiwa hawakupatikana. Bob Marley alimtuhumu waziri mkuu wa wakati huo kwa tukio hili.
Bob Marley, umeondoka lakini muziki wako unaishi na unabeba yote kila mmoja anayotaka kusikia leo na kesho.
Mr TEeeh!
Rasta farai.
Gwanni man ganta peace
Mr malaveli10Mr T
Ni kansa ndo ilimuondoa, hadi mauti yanamkumba mwaka 1981 mwezi Mei tarehe ya leo (Mei 11, 1981) alikuwa akivuta nusu kilo ya bangi kwa wiki. Alifariki akiwa kijana tu ana kwa kuwa aliacha vitu vingi vya kukumbukwa, hajawahi kufa mioyoni na masikioni mwa wote wanaopenda kusikia nyimbo zake.
Namuongelea mwanamuziki na miongoni mwa watu maarufu duniani Robert Nesta Marley, Bob Marley kwa umaarufu. Mzungumzaji wa taratibu aliyeamini katika imani ya kirastafari. Aliingia katika mgogoro na aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Jamaica Michael Manley.
Akiwa nyumbani kwake mwezi December 1976 akijiandaa kutumbuiza tamasha la muziki alipigwa risasi, hazikumuua na watuhumiwa hawakupatikana. Bob Marley alimtuhumu waziri mkuu wa wakati huo kwa tukio hili.
Bob Marley, umeondoka lakini muziki wako unaishi na unabeba yote kila mmoja anayotaka kusikia leo na kesho.



Baba sweetipieHivyo hivyo tu shunie akee, namshukuru muumba.
Vipi ndugu yangu!?Mr malaveli10
Hhhmmm!! Nani wewe unanijua vizuri, mpaka jina la utotoniBaba sweetipie

Hhhmmm!! Nani wewe unanijua vizuri, mpaka jina la utotoni![]()
![]()
Sawa sipingi hilo, ila ww nani katika jina la utoto, maana naona mwenzangu unatumia jina la ubatizo..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tumecheza michezo ya utotoni pamoja na Lee, bitoz, jimena, sweetipie, mukongo, shululu nk

Acha ushushu tuwaite wadau wajeSawa sipingi hilo, ila ww nani katika jina la utoto, maana naona mwenzangu unatumia jina la ubatizo..![]()
![]()
![]()
Bila shaka watuonaHivi mko poa huku jamani
We ninong'oneze jina lako la utotoni..Acha ushushu tuwaite wadau waje
shululu
Shunie
Sakayo
EMMYGUY
Youngblood
Tumosa
BlessedHope
eden kimario
sumbai
Ongezea