Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sijui nimuelezeaje, zaidi zaidi nitakuwa kama namtusi hivi.


...jamaa ni ngumu kumuelezea maana kazungukwa na wanafiki ambao ni kama wana dunia yao peke yao ndani ya nchi. haijulikani kama jitihada hizi anazofanya ni za kujenga uchumi mkubwa au uchumi mdogo?

Wenzake kina Ben (uchumi mkubwa- Barabara na Kiwanja etc) JK (mixer ya Maco&Micro- Barabara, mashule) walisambaza ajira kama mvua, huyu hata hajulikani anajenga uchumi gani, na kinachoonekana dhahiri ni contaction kwenye uchumi (makampuni kupunguza wafanyakazi, hasara kwa mabenki kwa sababu watu uwezo wa kununua umeshuka, mishahara haiboreshwi)
Ngoja nami nishindwe tu kumuelezea kama wewe papa mopao mutu ya Mjimwema kwenye majumba ya mawe na bustani
 
...jamaa ni ngumu kumuelezea maana kazungukwa na wanafiki ambao ni kama wana dunia yao peke yao ndani ya nchi. haijulikani kama jitihada hizi anazofanya ni za kujenga uchumi mkubwa au uchumi mdogo?

Wenzake kina Ben (uchumi mkubwa- Barabara na Kiwanja etc) JK (mixer ya Maco&Micro- Barabara, mashule) walisambaza ajira kama mvua, huyu hata hajulikani anajenga uchumi gani, na kinachoonekana dhahiri ni contaction kwenye uchumi (makampuni kupunguza wafanyakazi, hasara kwa mabenki kwa sababu watu uwezo wa kununua umeshuka, mishahara haiboreshwi)
Ngoja nami nishindwe tu kumuelezea kama wewe papa mopao mutu ya Mjimwema kwenye majumba ya mawe na bustani
Tatizo hata tukiweza kumuelezea yatatukuta tu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom