omarion5
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 5,206
- 17,687
sawa.Kazana utaimaliza
sawa.Kazana utaimaliza
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wozaaaaa, hali ya hewa inaruhusu
Abee ShemSakayo shemeji
Marhaba shunie akee..Salama maka akee shikamoo
So sad!! Ila yatupasa itukae akilin kwamba ni lazima tufe, muhimu kujiandaa kuonana na aliyekuumba.tunarudi kwa baba[emoji22]
shem mguno vepeeDuh aisee
Asante mumie uwe na kaz njema piaAsubuhi njema makupuku na kazi njema [emoji8]
P O I N TSo sad!! Ila yatupasa itukae akilin kwamba ni lazima tufe, muhimu kujiandaa kuonana na aliyekuumba.
Asantee omarion5ABJ
nakwako pia.
Asantee dearAsante mumie uwe na kaz njema pia
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Asantee dear
Hahhaha nakudanganya wapi mmNamjua mfyuu usinidanganye
Waambie babe
bora umekuja kipenzi changu
Nimekuona kwa mbali nilikuwa nakatisha mitaa nikaamua nikufuate kipenzi changu
ahsante kwakunijali mwifwa wangu,nakupenda kuliko hata neno lenyewe kupenda
Jins moyo wangu ulivyochomoka na kuingia kwenye moyo wako hadi nashindwa kuelezea
najua babe,tuzidi kupendana
Khaaa kumbe kweli hatimaye Mwifwa lile gundu limekuisha ole wako umuache moneytalk ndugu zake tupo hatutaki kuona unamuumiza kwa namna yeyote ile mpendane hivyo hivyoUpendo wetu hamna anayeweza kuutenganisha isipokuwa Muumba pekee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shemela shikamoo hata kama cjatambulishwa
Na mm pia nahitaji utambulishoNaona upo mbebe wako jamani hebu nitambulishe bac shemela anifahamu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Woyoooooo niko hapa nagonjeka kusubiri na mm utambulishoSasa hivi anaandaa Dinner akimaliza atakuja kuweka mambo wazi
Sijui utaimaliza lini jamaninimeanza episode ya kwanza ya riwaya iitwayo 'mkufu wa malkia wa goshen'