Makapuku Forum

Makapuku Forum


Mdudu tishio kwa usalama wa chakula nchini kutoka bara la america ameanza kuwatesa wakulima Tanzania angalia makala hiyo. Anakula mazao zaidi ya 80, anatembea kilometa 100 kwa usiku mmoja na anataga mayai 300 na kutotolesha ndani ya siku tatu. Itazame uwaelimishe wakulima na ndugu zetu vijijini.
Asante mkuu aliyeangalia aniambie jamani bundle mzozo
 
Back
Top Bottom