PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,105
- 14,356
cc The name Bitoz Jimena Youngblood mussolin na wewe(yaani mie ninaesoma)Hongera sana kwa waanzilishi wa huu uzi, umepata umaarufu
cc The name Bitoz Jimena Youngblood mussolin na wewe(yaani mie ninaesoma)Hongera sana kwa waanzilishi wa huu uzi, umepata umaarufu
Mussolini ndo kacomment iyo ya 31000Mlinzi wa humu namaanisha
Kuna mgawo wa pesa?mpaka sasa yameshafika majina 5 ila yanaendelea kuongezeka kwa jinsi nnavyozidi kuzipitia post
Santeeeeecc The name Bitoz Jimena Youngblood mussolin na wewe(yaani mie ninaesoma)

Uandishi wako huwa siuelewi kijana, hebu kuwa makini na smart4n yako.Huku ni buradan jaman hakun kinachobid ni kula bada

Uandishi wako huwa siuelewi kijana, hebu kuwa makini na smart4n yako.
![]()
![]()


ok. ngoja nikuandikeKuna mgawo wa pesa?
Niandike na mimi tafadhali.
Morning allMorning family
Happy Monday to all
Smartphone ndio inakukontrol wewe unashindwa kuikontrolHuku ni buradan jaman hakun kinachobid ni kula bada

Fanya utafiti kwanza
Chama linakuwa ...wanaosepa ni wale MAMLUKI halafu kuna watu mwanzo walidengua sasa ndio wameona chama kubwa wameanza kuibuka
Kumbuka kuna watu wamefuata LIKES tu kinafiki
One Love
.................
hata mm huwa simuelewagi ila nadhani itakuwa ni hii "word predict" ndo ina mtatizaUandishi wako huwa siuelewi kijana, hebu kuwa makini na smart4n yako.
![]()
![]()
Morning KapukuMorning all
OKAY...
sasa nmeshakuja na suluhisho.
kutokana na hii mis-understanding iliyojitokeza hapa juu nmeona bora "tufunike kombe mwanaharamu apite"
kwa maana hata hawa waliokwaruzana tayari wameshayamaliza so AMANI NA ITAWALE
Kiranja mkuu?salute![]()
![]()
Kiranja mkuu?
Mkuu nakutafuta sanaUandishi wako huwa siuelewi kijana, hebu kuwa makini na smart4n yako.
![]()
![]()
DaaaahLEO NI MWEZI MMOJA KAMILI TOKA THREAD HII ILIPOASISIWA.
Tumepiga hatua so far...shout out to akina;
Bitoz
Th Name
youngblood
amaizing
EMMYGUY
Na makapuku wengine wote...
