Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...nitajulia wapi sasa mimi mla mahaba
Mazawadi yatapokelewa kama kawaida hakuna kususa ila mukongo jaman nimemmiss mie
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji8]Nawapenda sanasana...mabinti zangu nawaombea sanaa amani itawale my daughter
Safari hii ctaharibu jamani[emoji39] [emoji39]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu mwenyewe kutoa maua hawezi[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253] nimemkumbuka mukongo mm jaman angekuwepo kutoa mauwa binamu Mungu anakuona kwa kunipotezea mukongo wa mama
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndo maana nikabaki namuangalia tu, kipindi kile alileta mambo ya yangeyange akidhani hatuoni anatuharibia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu mwenyewe kutoa maua hawezi
Kwa taarifa zisizo rasmi inasemekana wapo nje ya nchiNawatafuta popote walipo jamena na bitozi waje hapa jukwaani
Sawa na msafiri asafiriye na asijue aendako basi sawa, sio lazima tutafsiri au sio mtaasisi?Tafasiri Unavyoweza: Swali na Masahihisho
Usije ukadhani kuwa kila swali lina hitaji majibu, usitegemee utakutana na hali ya jana kila siku maana jana na leo ni siku mbili tofauti na kwa kuwa ni mbili basi sahau kuona moja jumlisha moja u=inakuwa tatu na si mbili. Kwa kwa kuwa moja na na moja ni mbili na wala si tatu kwa kujumlisha basi hoja yangu ya kutafasiri inasema kuwa si kila swali linahitaji majibu, maswali mengine yanahitaji marekebisho na si majibu.
Unaweza kujiuliza kwanini pamoja na kuwepo kwa rasilimali chekwa kwenye taifa letu bado umaskini uliokithiri unatamalaki na kumea kama uaridi kwenye samadi. Hapa kujiuliza swali ukitegemea majibu ni kujidanganya na kujilisha upepo tu, swali unalojiuliza ni lazima ulirekebishe kwanza, lifanyie masahihisho ndo liwe swali vinginevyo linabaki kuwa ni maneno yenye kiulizo badala ya nukta.
Unajiuliza haki yangu iko wapi, unapoteza muda, haki huletewi kwenye sahani. Fuatilian na ndipo utagundua kuwa unapaswa kutafasiri unavyoweza kila ninachoandika na kila unachosoma maana asubuhi ninatafasiri vingine na mchana nikishiba tafasiri ya asubuhi inabadilika. Tumewaona wanaotaka tuwaombee ilihali hawataki kuwauliza tuwaombee juu ya nini na hapa ndo majibu kabla ya swali. Tafasiri unavyoweza
Kwenye mng'aro tunawapelekea watoto wanaogradueti, huku ukubwani tunaweka kwenye bahasha tu maana hatupangiani matumizi...nikiweka kwenye bags kuna hatari ya kukutana na mgambo wa jiji wakadhani mimi ni mmachinga. lazima kitu kikae kwenye karatasi yenye mng'aro wa mcharo
AHSANTE SANA MAMAAsante sana my SON NAJUA UTAKUJA SOON,NINA MENGI YA KUKUELEZA KARIBUUU
Mama sema neno moja tu na roho zetu zitaponaUwiii Obe...Asante...Asante kwa Upendo..unaniongezea imani kubwa kuwa hapa MUNGU YUPO.NI MARA CHACHE SANA KUPATA WATU WANAOJALI NA KUTHAMINI WENGINE..NISEME UKWELI MAHALI HAPA PAMEKUA FARAJA YA PEKEE MARA ZOTE NAHITAJI KUWA NANYI NA KUSEMA NANYI JAPO NENO MOJA TU LA UPENDO..SIJAWAHI ZUNGUKWA NA UPENDO WA AINA HII WA KILA MTU KUNIJALI,KUFUATILIA,KUFAHAMU NINAVYOJISIKIA NA KUBWA KUNITAMKIA WAZI KUWA NAPENDWA..ASANTE OBE MUNGU AKUZIDISHIE KATIKA KILA HITAJI LAKO,AONGEZE UPENDO ATUSAIDIE TUONGEZE MSHIKAMANO NA UKARIMU...NAKUPENDA OBE...NAWAPENDA MAKAPUKU WOTE MBARIKIWE SANA
[emoji120]ASANTE SANASANA
[emoji7][emoji4] [emoji4] [emoji4]
Sawa mamaUkampokee popote mwanangu
[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
[emoji23] [emoji23]
Kwenye mng'aro tunawapelekea watoto wanaogradueti, huku ukubwani tunaweka kwenye bahasha tu maana hatupangiani matumizi
[emoji122]Happy born day Mom.. Mungu akutunze jamani Mama!! Sakayo loves u much
Bora na wewe umeliona hilo[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253] nimemkumbuka mukongo mm jaman angekuwepo kutoa mauwa binamu Mungu anakuona kwa kunipotezea mukongo wa mama
Kuna uzi wako sijui upi Baba D kasema ni ule wa vibonge sijui ni kweli au uongoShunie mm jaman ndio nini kwani mnazungumzia